Psalms 122:3-5


3 aYerusalemu imejengwa vyema kama mji
ambao umeshikamanishwa pamoja.

4 bHuko ndiko makabila hukwea,
makabila ya Bwana,
kulisifu jina la Bwana kulingana na maagizo
waliopewa Israeli.

5 Huko viti vya enzi vya hukumu hukaa,
viti vya enzi vya nyumba ya Daudi.

Copyright information for SwhKC