Psalms 122:3-5
3 aYerusalemu imejengwa vyema kama mji
ambao umeshikamanishwa pamoja.
4 bHuko ndiko makabila hukwea,
makabila ya Bwana,
kulisifu jina la Bwana kulingana na maagizo
waliopewa Israeli.
5 Huko viti vya enzi vya hukumu hukaa,
viti vya enzi vya nyumba ya Daudi.
Copyright information for
SwhKC